ADVERTISE WITH US

Results for uchumi
Apple has invested $390 million into Finisar, the company behind the TrueDepth camera lasers. Apple announced the investment today,
Poldavy 12/14/2017 11:15:00 am
Read more ...
Sakata la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuweka fedha katika akaunti maalumu kwenye benki za biashara limechukua sura mpya baada ya Gavana wa Benki Kuu Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndulu kusema si kosa kisheria.

Profesa Ndulu, ambaye ni mmoja wa wajumbe wa Bodi ya TRA iliyovunjwa na Rais John Magufuli Jumapili iliyopita, alisema mjini Arusa jana kuwa hakuna hasara kiuchumi kuweka fedha kwenye akaunti maalum isipokuwa hilo suala lilikuwa na hali nyingine.
Poldavy 11/26/2016 11:51:00 pm
Read more ...