Rihanna athibitisha kuja na Albamu yenye radha ya muziki wa reggae mwaka huu. |
Rihanna alithibitisha kuwa anafanya kazi kwa full LG reggae katika mahojiano yake na Vogue.
Rihanna anasema anafanya kazi na mtayarishaji maarufu wa Jamaika anaeitwa Supa Dups ambaye alizalisha nyimbo nyingi kwa Beenie Man, Elephant Man na Sean Paul. Bila shaka sisi wote tunajua kwamba Bob Marley ni msanii pendwa wa RiRi wa wakati wote, Nyimbo zake maarufu Bob Marley ni "Three Little Birds,” “No Woman, No Cry,”na “Redemption Song.”
Rihanna hakufunguka habari zaidi kuhusu albamu lakini mwaka jana Urban Islandz iliripoti kwamba alirekodi wimbo na mwimbaji wa reggae aliyefungwa jijini Buju Banton yenye jina la "Phatty."
Pia kuna fununu kuhusu kolabo kuja na nyingine ambayo kafanya na favorite artis wake katika midundo ya reggae, Sizzla.
Q: what album am i looking forward to the most right now?— Genius (@Genius) May 4, 2018
A: rihanna's reggae album ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜https://t.co/dCDaxEwmUT pic.twitter.com/1MThWzDgCR
No comments:
Post a Comment