![]() |
| Kanye West na Kid Cudi Sasa Kuunda kundi la Rap liitwalo "Kids See Ghost" |
Kanye West na Kid Cudi daima wamekuwa marafiki wa karibu na wameshirikiana kwa muda mrefu hivyo hoja hii haipaswi kuja kama mshangao kwa mtu yeyote anayefuatilia muziki wao. Washirika hawa walijishughulisha hapo awali kwenye ngoma kama “Make Her Say,” “Welcome To Heartbreak,” na “Gorgeous.”
Rapa hawa wawili kutoka G.O.O.D muziki wanaliunda kundi japya la rap liitwalo Kids See Ghost na wanaachia albamu ya pamoja Juni 8. Kanye West aliendelea na dhoruba ya tweet Alhamisi akifafanua tarehe ya kutolewa kwa albamu yake itakayokuja. Project hiyo umewekwa kwa ajili ya kutolewa Juni 1 na utajumuisha nyimbo 7. Lakini hayo hayakuwa maelezo pekee yaliyotolewa kwenye Twitter. Pia alituambia kwamba albamu yake ya pamoja na Kid Cudi kuja wiki baada ya juhudi zake za solo na Teyana Taylor na Pusha T pia wanaacha albamu hii majira ya joto..
“Me and Cudi album June 8th,” Kanye Aliandika na kuongeza, “it’s called Kids See Ghost. That’s the name of our group.”
“Me and Cudi album June 8th,” Kanye aliongezea, “it’s called Kids See Ghost. That’s the name of our group.”
me and Cudi album June 8th
— KANYE WEST (@kanyewest) April 19, 2018
June 1st
— KANYE WEST (@kanyewest) April 19, 2018
me and Cudi album June 8th
— KANYE WEST (@kanyewest) April 19, 2018
June 1st
— KANYE WEST (@kanyewest) April 19, 2018Art by me pic.twitter.com/8QfUBiAaUp— SHANE RAMOS© (@ItsTheRealLogic) April 19, 2018
Here’s a YEEZUS Cover I made! pic.twitter.com/yincpvZZze— SHANE RAMOS© (@ItsTheRealLogic) April 19, 2018





No comments:
Post a Comment