Muimbaji kutokea label ya WCB, Harmonize ameachia video ya ngoma yake
mpya inayokwenda kwa jina la DM Chick ambayo amemshirikisha rapper
Sarkodie kutokea nchini Ghana, Audio imesimamiwa na Producer Chris Alvin Sunday almaarufu kama Krizbeatz the drummer boy toka Nigeria, video imeongozwa na MoeMusa. Chukua muda wako wa Kupakua na Kuangalia.
No comments:
Post a Comment