Infinix zinaweza kuwa simu geni sana kwa baadhi ya watanzania,lakini ukienda Kenya, Nigeria, Uganda,Ghana na baadhi ya mataifa mengi ya bara Asia utaweza kuona wingi wa utumiaji wa hizi simu,ni kampuni iliyoingia kwa kasi ya ajabu kayika soko la uuzaji wa simu janja.
Leo tunakupa uchambuzi wa simu aina ya Hot 5 X559c,wacha tuone uwezo na sifa zake.
Muonekano wa Infinix hot 5 [X5 |
Bei | TSh. 250000-280000 |
Mfumo endeshi | Android 7.0 Nougat XOS 2.3 |
Ukubwa wa kioo | inchi 5.5 |
Display Resolution | 720 x 1280 pixels |
Prosesa | Quad-Core CORTEX 1.3GHZ, 64BIT MT6753 |
GPU | Mali |
RAM | 2GB |
Ukubwa wa diski | 16GB |
Memori ya kuchomeka | 128GB |
Kamera ya nyuma | 8 Megapixels |
Selfie kamera | 5 Megapixels |
Betri | 4000mAh |
Mtandao | 3G |
Simu hii ni nzuri kwa kweli ndiyo naitumia Inakaa na chaji.
Kitu cha kuvutia zaidi ina kitu kinaitwa XOS Family.
Baadhi ya apps za familia ya XOS |
XOS Family ni mjumuisho wa apps zao nyingi za Infinix kama xhide,xtheme, xclub n.k
Yani ili uweze kujiunga na familia hizo inakubidi ufunguwe Akaunti kwenye xaccount,hapo utaweza kupata chochote kwenye familia yao kama themes,fonts, wallpapers na majadiliano mbalimbali pamoja na kutoa kero mbalimbali kwenye simu yako.
No comments:
Post a Comment