ADVERTISE WITH US

MIGOS,YOUNG THUG, CARDI B, LIL UZI VERT NA WENGINE WENGI WAMEIPAMBA FORBES 30 UNDER 30 YA MWAKA 2018

Jarida la Forbes lenye makaomakuu yake New York City,Marekani limetoa orodha ya vijana 600 wenye ushawishi Duniani kwa mwaka 2017-18.


. Kwenye kipengele cha wanamuziki wa Hip Hop wenye umri chini ya miaka 30 wanaoendelea kufanya poa zaidi kwa mwaka  huu wametajwa Migos,Young Thug, Cardi B, Lil Uzi Vert na wengine wengi:    

No comments: