Vita kali kati ya wa-Canada, The Weeknd na Justin Bieber imeshika kasi na inaelekea pabaya!
Kisa kilianza baada ya Bieber kumchana The Weeknd na kuudharau muziki wake, alipoulizwa kuhusu uhusiano wao mpya na Selena Gomez.
The Weeknd alikaa kimya..
Ila leo kaufungua mdomo wake na kumchana JB kwenye wimbo wake mpya "Some Way", akisisitiza kumchukulia mpenzi wake. Mistari hiyo inasema,
"I think your girl, think your girl, fell in love with me
She say my f–k and my tongue game a remedy
Oh yeah, yeah, I just hit a lick and I know you feelin' some way
(nah, nah nah nah, nah nah nah)
I just took that chick, and I know you feelin' some way, oh yeah
She just want a n–a like me, you feelin' some way, way, way, yeahShe just want a n–a like me, I play no games"- ameimba The Weeknd..
tazama video hiyo hapo chini usikie alichokisema bieber
Kisa kilianza baada ya Bieber kumchana The Weeknd na kuudharau muziki wake, alipoulizwa kuhusu uhusiano wao mpya na Selena Gomez.

The Weeknd alikaa kimya..
Ila leo kaufungua mdomo wake na kumchana JB kwenye wimbo wake mpya "Some Way", akisisitiza kumchukulia mpenzi wake. Mistari hiyo inasema,"I think your girl, think your girl, fell in love with me
She say my f–k and my tongue game a remedy
Oh yeah, yeah, I just hit a lick and I know you feelin' some way
(nah, nah nah nah, nah nah nah)
I just took that chick, and I know you feelin' some way, oh yeah
She just want a n–a like me, you feelin' some way, way, way, yeahShe just want a n–a like me, I play no games"- ameimba The Weeknd..
tazama video hiyo hapo chini usikie alichokisema bieber



No comments:
Post a Comment